NAUZA BATA MZINGA.
Wakubwa kwa wadogo wenye uwezo wakua na mpaka kg 15 pia bata bukini,vifaranga chotara wenye kutaga wakiwa na miezi minne na nusu tu, kware pia wanapatikana. Karibuni 0757 662401
JE UNASOMA MASTERS??
Je, unasoma MASTERS na unahangaika na Research Proposal Report,Term and Concept Paper writing? Tupigie 0782711444 na 0755646547.
GARI INAUZWA
Pata gari kwa bei nzuri Toyota Hilax Mil 4 E 100 Corola Mil 2.5. Pia tunauza kioo cha scania cha mbele bei maelewano.
Mawasiliano : 0784 687407
NYUMBA INAUZWA
Nyumba inauzwa ipo External Ubungo,Vyumba 10 na Frem, Bei ni Million 145. Simu no 0716 417255
NYUMBA INAUZWA
Nyumba inauzwa iko kiwalani minazi mirefu Mita 100 kutoka barabarani. Simu no. 0713 603080, 0759 603080
MASHAMBA YANAKODISHWA BAGAMOYO.
Yapo Tuamoyo Msata Road,Km. 13 kutoka Bagamoyo mjini, ni Tambalale na yapo jirani na Mto Ruvu,yanafaa kwa kilimo cha mboga mboga,matikiti,vitunguu,nyanya n.k. Simu 0655/0767 564220.
NYUMBA INAPANGISHWA KIJITONYAMA
Ipo maeneo ya Africa sana inatazamana Shekilango road. Ina vyumba 4, 1 master,sitting,dining,jiko na uwanja wa mkubwa,Fensi na geti. Panafaa Ofisi,Biashara au Makazi. Simu 0655/0767 564220.
VIWANJA VINAUZWA MAPINGA BAGAMOYO.
Viwanja vimepimwa kwa ajili ya makazi,vipo eneo la Mapinga,mita 100 kutoka Bagamoyo road. Maji, umeme yanapatikana katika mradi,Tshs 13,000/= kwa mita za eneo. Mawasiliano: Jeco Ltd-0713 796059, 0716 572300.
TAJIRIKA
Totoa vifaranga kwa mafuta ya taa tu! Nunua 'Kerosene incubator' kwa tshs 450,000/= tu,uwe TAJIRI wa kuku. Inawafaa wafugaji na maabara za biology mashuleni. Nunua kwa mpesa popote E. Africa. Tupigie 0768 215956. PIGA PESA.
Pages
